IQNA – Hafla ya kufunga 'Mashindano ya Pili ya Mlinzi wa Misikiti Miwili Mitukufu la Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume (SAW)' ilifanyika katika mji mkuu wa Senegal.
Habari ID: 3482176 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28
IQNA – Mashindano ya Saba Ya Kitaifa la Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Ghana lilifanyika mwishoni mwa juma lililopita katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3482174 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28
IQNA – Mji mkuu wa Senegal unaandaa raundi za awali za Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3482165 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26
IQNA – Toleo la 11 la mashindano ya kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Uturuki limeanza rasmi siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3482158 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/22
IQNA – Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia amewapongeza washindi wakuu wa mashindano ya kitaifa ya Qur’ani nchini humo.
Habari ID: 3482155 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/20
IQNA – Qari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, alisoma aya za Surah Ar‑Ra‘ad katika duru ya mwisho ya toleo la tatu la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Al‑Ameed lililofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482151 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/19
IQNA – Umati mkubwa wa watu ulihudhuria hafla ya kufunga Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Tanzania, iliyofanyika jijini Dar es Salaam siku ya Jumapili.
Habari ID: 3482121 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/06
IQNA – Mitihani ya hatua ya awali ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa la Misri la Kuhifadhi na Kufahamu Qur’ani Tukufu yanatarajiwa kuanza siku ya Jumapili, tarehe 5 Aprili.
Habari ID: 3482101 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/29
IQNA — Zaidi ya miongo minne tangu kufariki kwake, sauti tulivu na yenye khushuu ya Sheikh Mahmoud Khalil Al‑Hussary bado inaendelea kuzunguka na kugusa nyoyo za Waislamu kote katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3481998 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26
IQNA – Toleo la tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu yajulikanayo kama “Wa Rattil” limeanza kurushwa kupitia mtandao wa Thaqalayn TV, sambamba na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481969 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/21
IQNA – Washiriki kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamefanikiwa kushinda nafasi ya kwanza na ya pili katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu yajulikanayo kama “Al‑Sadiq Al‑Amin”, yaliyofanyika nchini Lebanon.
Habari ID: 3481946 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/16
IQNA – Hafla maalumu ilifanyika nchini Yemen kuwaenzi wanafunzi 200 waliokamilisha masomo yao katika vikao vya Qur’ani vilivyoendeshwa misikitini katika kitongoji cha Madhbah, Wilaya ya Maeen.
Habari ID: 3481939 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15
IQNA – Majina ya washiriki waliofanikiwa kufuzu katika kipengele cha vijana (chini ya umri wa miaka 16) katika toleo la tatu la Mashindano ya Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al‑Ameed nchini Iraq yametangazwa.
Habari ID: 3481938 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15
IQNA – Toleo la 9 la Tuzo ya Katara ya Usomaji wa Qurani Tukufu limeingia rasmi katika hatua ya fainali, baada ya washiriki 100 kufuzu kushiriki duru ya mwisho ya mashindano hayo ya kimataifa.
Habari ID: 3481909 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/09
IQNA – Omar Ali Awad ametangazwa na kutunukiwa tuzo ya “Tawi la Dhahabu” katika shindano la vipaji vya Qur’ani lijulikanalo kama “Dawlet El Telawa (Hali ya Usomaji)” nchini Misri.
Habari ID: 3481903 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08
IQNA – Qari au Msomaji mahiri wa Qur'ani Tukufu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, ameibuka mshindi wa kwanza katika toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, lililofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3481902 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08
IQNA – Mashindano ya 13 ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani nchini Mauritania yameanza rasmi siku ya Jumamosi katika mji mkuu, Nouakchott.
Habari ID: 3481880 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/01
IQNA – Toleo la 9 la Mashindano ya Kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu na Ibtihal ya Port Said lilianza rasmi Ijumaa katika mji wa bandari wa Port Said, Misri.
Habari ID: 3481875 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/31
IQNA-Lebanon inajiandaa kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Al‑Sadiq Al‑Amin,” yatakayofanyika Beirut katika siku za kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481854 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/27
IQNA – Msimamizi mkuu wa mashindano ya vipaji vya Qur’ani nchini Misri, maarufu kwa jina “Dawlat al-Tilawa”, ametangaza kuwa msimu mpya wa kipindi hicho kitaanza rasmi Novemba 2026.
Habari ID: 3481784 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/08