IQNA – Taasisi ya Kijiji cha Utamaduni (Katara) nchini Qatar imefungua milango ya maombi kwa ajili ya Toleo la 10 la Tuzo ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu. Mashindano hayo ya Qur’ani yanafanyika chini ya kauli mbiu: “Kuimarisha Sauti za Usomaji Mwema”.
Habari ID: 3482583 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/04
IQNA-Mashindano makubwa ya kuhifadhi Quran Tukufu yameanza rasmi siku ya Jumamosi katika mkoa wa Nineveh nchini Iraq, yakishirikisha jumla ya mahafidhi elfu ishirini kutoka rika zote
Habari ID: 3482579 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/03
IQNA – Qari au Msomaji wa Qur’ani kutoka Iran, ambaye atashiriki katika toleo la mwaka huu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia, amesema anaendelea kufanya juhudi kubwa ili kujiandaa kikamilifu kwa ajili ya tukio hilo la Qur’ani.
Habari ID: 3482572 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/02
IQNA-Mashindano ya 34 ya Qur’ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman yameanza rasmi huku yakishuhudia idadi ya washiriki 2,214 wakijitokeza katika hatua ya awali.
Habari ID: 3482571 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/02
IQNA – Toleo la 29 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai limepokea zaidi ya mawasilisho 12,000 kutoka kwa washiriki wa kiume na wa kike wanaowakilisha nchi 120 duniani, ndani ya wiki mbili za kwanza tangu usajili ulipofunguliwa. Idadi hiyo ni zaidi ya mara mbili ya waombaji 5,618 kutoka nchi 105 walioshiriki katika toleo lililotangulia.
Habari ID: 3482568 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Malaysia amechaguliwa rasmi.
Habari ID: 3482562 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA – Washindi wa Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur’ani ya Balkan walitangazwa na kutunukiwa katika hafla ya kufunga mashindano hayo.
Habari ID: 3482560 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
IQNA –Mwongozo mpya wa kanuni za Mashindano ya Kimataifa ya 46 ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na Kufasiri Qur’ani Tukufu umezinduliwa rasmi.
Habari ID: 3482557 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/29
IQNA – Hatua ya mchujo ya Mashindano ya Tatu ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya “Awali wa Waliotangulia” (First of the Firsts) imezinduliwa nchini Qatar.
Habari ID: 3482555 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/29
IQNA – Toleo la 20 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI linatarajiwa kufanyika nchini Morocco kuanzia tarehe 10 hadi 12 Agosti, 2026.
Habari ID: 3482474 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/12
IQNA – Baba na mwanae kutoka Misri waliokuwa washiriki katika Tuzo ya Qur’ani ya Al Ameed nchini Iraq wamekuwa miongoni mwa waliopata nafasi za juu katika shindano hilo la kimataifa la usomaji wa Qur’ani.
Habari ID: 3482368 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/16
IQNA – Wawakilishi wote wa Iran katika toleo la tano la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Karbala nchini Iraq wamepata nafasi za juu katika vipengele mbalimbali vya mashindano.
Habari ID: 3482351 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/12
IQNA – Zaidi ya watu 67,000 wamejiandikisha kushiriki katika Mashindano ya 49 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambapo hatua ya awali inatarajiwa kuanza mwezi ujao.
Habari ID: 3482343 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/09
IQNA – Mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Misri ya mwaka huu yatafanyika kwa kumbukumbu ya qari mashuhuri marehemu Sheikh Abdel Fattah Shaasha’i.
Habari ID: 3482326 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/05
IQNA – Raundi ya fainali ya Mashindano ya Qur’ani yanayorushwa mubashara kupitia televisheni, “Inna lil-Muttaqina Mafaza” (Hakika kwa wachamungu ipo mafanikio/maokoleo), inatarajiwa kufanyika baadaye wiki hii.
Habari ID: 3482312 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/01
IQNA – Kijiji cha Kardonikskaya katika Jamhuri ya Karachay-Cherkessia nchini Russia, katika eneo la kaskazini-magharibi mwa Caucasus, kimeshuhudia ufunguzi rasmi wa msikiti mpya, hafla iliyoambatana na mashindano ya Qur’ani.
Habari ID: 3482296 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/29
IQNA – Majma‘a ya Shule za Kiislamu za Al‑Iman mjini Tripoli, Lebanon, imeandaa Mashindano ya 42 ya Kila Mwaka ya Qur’ani Tukufu, katika hafla iliyotawaliwa na hali ya kiroho na utulivu wa Kiimani.
Habari ID: 3482264 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/20
IQNA – Kwa mara ya kwanza katika historia yake, Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu katika Ufalme wa Saudi Arabia yatajumuisha kitengo maalumu cha wanawake.
Habari ID: 3482227 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/11
IQNA – Hafla ya kufunga 'Mashindano ya Pili ya Mlinzi wa Misikiti Miwili Mitukufu la Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume (SAW)' ilifanyika katika mji mkuu wa Senegal.
Habari ID: 3482176 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28
IQNA – Mashindano ya Saba Ya Kitaifa la Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Ghana lilifanyika mwishoni mwa juma lililopita katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3482174 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28