iqna

IQNA

IQNA – Washiriki wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz wametembelea misikiti ya kihistoria na maeneo ya turathi katika mji wa Madina, kama sehemu ya programu ya kitamaduni iliyoandaliwa na mamlaka za Saudi Arabia.
Habari ID: 3481108    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19

IQNA – Awamu ya awali ya kategoria ya usomaji katika Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamuyaliyoandaliwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza rasmi, huku washiriki kutoka mataifa 36 wakituma video za usomaji kwa ajili ya tathmini.
Habari ID: 3481101    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/18

IQNA – Kiongozi wa Akademia ya Iran ya Elimu, Utamaduni na Utafiti (ACECR) amesema kwamba programu kama Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu huchangia katika elimu ya kizazi kipya na kuimarisha diplomasia ya kitamaduni kupitia Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481096    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/17

IQNA – Mtaalamu wa Qur’ani kutoka Iran, Gholam Reza Shahmiveh, amepongeza historia ndefu ya Malaysia katika kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani, akiyataja kama mfano wa kitaalamu na utambulisho wa kitamaduni.
Habari ID: 3481092    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/16

IQNA – Raundi ya mwisho ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na Kufasiri Qur’ani Tukufu imemalizika Alhamisi katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
Habari ID: 3481089    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/15

IQNA – Toleo la 45 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani linaloendelea mjini Makkah limeendelea Jumatatu katika Msikiti Mtukufu (Masjid al Haram), likishuhudia washiriki 18 wakionesha vipaji vyao vya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481074    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/12

IQNA – Siku ya pili ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma kwa Tajwidi na Kufasiri Qur’ani Tukufu ilishuhudia washiriki 17 kutoka pembe mbalimbali za dunia wakisoma mbele ya hadhira katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
Habari ID: 3481068    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/11

IQNA – Qari bora wa kiume wa Malaysia katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani mwaka huu nchini humo amesema kuwa kujifunza kutoka kwa mashaikh wa qiraa’ah kutoka pembe zote za dunia kumemuwezesha kufikia ushindi huu.
Habari ID: 3481063    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/10

IQNA – Wawakilishi wawili kutoka Malaysia wametwaa ubingwa katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu ya Malaysia (MTHQA) ya 65, kila mmoja katika kipengele chake husika.
Habari ID: 3481061    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/10

IQNA – Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Malaysia (MTHQA), yameimarika kwa mtazamo wa viwango ambapo majaji wamepongeza mahadhi na uhifadhi ulio bora zaidi.
Habari ID: 3481056    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09

IQNA – Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai imetangaza matokeo ya mchujo wa awali, ambapo washiriki 525 wamechaguliwa kuendelea katika toleo la 28 la mashindano hayo.
Habari ID: 3481055    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09

IQNA – Msikiti Mtakatifu jijini Makkah unatarajiwa kuanza kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani kuanzia Jumamosi.
Habari ID: 3481053    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09

IQNA – Katika ufunguzi wa Kongamano la Dunia la Qur’ani 2025 jijini Kuala Lumpur, Malaysia, wito umetolewa wa kuifanya Qur’ani kuwa mwongozo wa kina katika utungaji sera, elimu, na mikakati ya kiuchumi na isiwe ni ya usomaji na kuhifadhi pekee.
Habari ID: 3481052    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09

IQNA – Kongamano la Dunia la Qur’ani 2025 linatarajiwa kufanyika leo katika Kituo cha Biashara cha Dunia, Kuala Lumpur (WTCKL), likiendana na Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani (MTHQA).
Habari ID: 3481050    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/07

IQNA – Jenan Nabil Mohammed Nofal ni hafidha wa Qur’ani Tukufu anayewakilisha Palestina katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani yanayofanyika nchini Malaysia.
Habari ID: 3481047    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06

IQNA – Malaysia imezidisha juhudi za kuitangaza Qur'an Tukufu kama mwongozo wa maisha yenye maadili, kwa lengo la kulea kizazi chenye msingi imara wa tabia njema na uchamungu.
Habari ID: 3481041    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06

IQNA – Mohsen Qassemi, aliyeteuliwa kuiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Malaysia, alitoa qiraa’ yake Jumapili usiku katika ukumbi wa mashindano hayo mjini Kuala Lumpur.
Habari ID: 3481039    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/05

IQNA – Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu (MTHQA) yamefunguliwa rasmi katika mji mkuu wa Malaysia, Kuala Lumpur, siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3481034    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/03

IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur’ani, Gholam Reza Shahmiveh, amezungumzia umuhimu wa uadilifu na kuwepo kwa Iran katika jopo la majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani ya Malaysia.
Habari ID: 3480991    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/23

IQNA – Toleo la 28 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai limevutia maombi 5,618 kutoka nchi 105, ikiwa ni idadi ya juu zaidi hadi sasa, ambapo asilimia 30 ya waliowasilisha maombi ni wanawake.
Habari ID: 3480988    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/23