mashindano ya qurani

IQNA

IQNA – Katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vipofu nchini Indonesia, nakalah 300 za Qur’ani ya kidijitali kwa mfumo wa nukta nundu (Braille) zilisambazwa kwa washiriki wenye uoni hafifu au ulemavu wa macho.
Habari ID: 3481643    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10

IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Misri limeandaa maonyesho maalumu sambamba na Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481642    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10

IQNA – Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Misri yamefunguliwa tarehe 6 Disemba 2025 kwa qira’a ya qari mashuhuri wa Misri, Mahmoud Shahat Anwar.
Habari ID: 3481632    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08

IQNA – Sheikh Ahmed Mansour ni qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri anayehudumu katika kamati ya majaji wa mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481631    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08

IQNA – Televisheni ya Al-Kawthar imechapisha rasmi tangazo la video la Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu mubashara, yatakayopeperushwa hewani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka 2026.
Habari ID: 3481629    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08

IQNA – Toleo la 32 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Misri limeanza Jumamosi katika Mji Mkuu wa Utawala wa nchi hiyo.
Habari ID: 3481627    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07

IQNA – Usajili wa wanafunzi wa kigeni wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar kwa mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Port Said umeanza rasmi.
Habari ID: 3481614    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05

IQNA – Hatua ya mwisho ya mashindano ya 32 ya Qur’ani Tukufu nchini Misri itafanyika katika ardhi hiyo ya Kiarabu kwa ushiriki wa washindani 158 kutoka nchi 72.
Habari ID: 3481607    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/03

IQNA – Aiman Ridhwan Bin Mohammad Ramlan kutoka Malaysia ameibuka mshindi wa kwanza katika Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qira’at yaliyofanyika mjini Islamabad, Pakistan.
Habari ID: 3481600    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/01

IQNA-Spika wa Bunge la Taifa la Pakistan, Sardar Ayaz Sadiq, amesema mashindano ya kimataifa ya usomaji Qur’ani Tukufu yanayoendelea mjini Islamabad ni alama ya umoja wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3481580    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/28

IQNA – Washindi wa Mashindano ya 30 ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani nchini Qatar wametangazwa katika hafla maalum iliyofanyika Jumanne jijini Doha.
Habari ID: 3481574    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/27

IQNA – Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur’ani nchini Pakistan amesema anatarajia ushindani mkali katika mashindano hayo.
Habari ID: 3481571    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26

IQNA – Televisheni ya Al-Kawthar imeanza maandalizi ya kuandaa toleo jipya la mashindano yake ya Qur’ani Tukufu yanayorushwa moja kwa moja yanayo julikana kama , “Inna lil-Muttaqeena Mafaza” (Hakika wachamungu watapata mafanikio).
Habari ID: 3481570    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26

IQNA-Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Qur’an ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani, toleo la 30, inaendelea mjini Doha, Qatar ikihusisha mashindano ya wazi kwa wahifadhi kamili na sehemu.
Habari ID: 3481558    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/23

IQNA – Jumuiya ya Kimataifa ya Wahitimu wa Al-Azhar imeandaa mashindano ya usomaji wa Qur’an ya “Sauti Njema” nchini Misri, tukio lililopokelewa kwa furaha na wanafunzi wa Al-Azhar kutoka mataifa mbalimbali.
Habari ID: 3481544    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/20

IQNA – Mwenyekiti, katibu na wajumbe wa kamati tendaji ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu wametambulishwa rasmi.
Habari ID: 3481513    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/14

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule yameanza mjini Zliten, Libya, Jumanne, tarehe 11 Novemba.
Habari ID: 3481510    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/13

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani kwa watu wenye ulemavu wa macho nchini Kuwait yamefanyika kwa juhudi za Taasis ya Mutamayizin kwa Huduma ya Qur’ani.
Habari ID: 3481507    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/13

IQNA – Taasisi ya Utamaduni ya Katara nchini Qatar imetangaza kuwa toleo la 9 la Tuzo ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu ya Katara, litakalofanyika kwa kauli mbiu “Pamba Qur’ani kwa Sauti Zenu”, limepokea jumla ya maombi 1,266.
Habari ID: 3481500    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/11

IQNA – Awamu ya kwanza ya mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani imeanza rasmi nchini Qatar, kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Awqaf na Mambo ya Kiislamu.
Habari ID: 3481494    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/10